Burudani

VIDEO: Binti Atingisha Madigda Makubwa, Wanaume Wadondokwa Mate

wanaume hoi

Binti aliyejaliwa udongo amewaacha wanaume wakidondokwa na mate baada ya kushiriki video yake ya mazoezi.

Kwenye video aliyoshiriki TikTok, binti huyo alionekana akitingisha madigda yake manene na kuwaacha hoi wanaume.

Hii ni kabla ya kuanza mazoezi ambako anaonekana akifanya mazoezi ambayo pengine ndiyo yanachangia ukubwa wa makalio yake.

Wanamitandao wengi, haswa wanaume walimmiminia sifa huku wengine wakitangaza wazi kuwa kawapagawisha.

Haya ni baadhi ya maoni:

“ Ungekuwa demu wangu ningehakikisha unashika mimba kila mwaka” mmoja alisema.

“Napenda ninachokiona”

“ Hata nashinwa kuhema. Mwenyezi-Mungu chukua usukani.”

“Hapa naweza uza mali yangu alimrai nirambe..” alisema mwingine.

“ Sasa ukisikia utamu basi ndo huu”

“ Nikikupata sitataka mwingine”

HABARI NYINGINE: Iweje Mwenye ‘Udongo’ Ajiamini Kuliko Aliye na Digrii?

Binti huyo kwa jina LondonDaGreat1 amepata umaarufu kwa kupakia video za kuvutia.

READ ENGLISH VERSION

Je, unayo taarifa murwa ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia [email protected].

Click to comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Kali Zaidi

To Top
Sorry this site disable right click
Sorry this site disable selection
Sorry this site is not allow cut.
Sorry this site is not allow copy.
Sorry this site is not allow paste.
Sorry this site is not allow to inspect element.
Sorry this site is not allow to view source.